Msanii wa Ragga Dabo on the stage ndiye aliefungua rasmi show ya Kili Music Tour 2013. |
Rais wa masharobaro Bob Junior akifanya yake pamoja na madansa wake |
Snura mamaa majanga nae akiwa kwa stage. |
AT akiwaduarisha wakazi wa Mwanza katika jukwaa la Kikwetu kwetu |
Mkali wa R&B Ben Pol akiwaimbisha mashabiki wake |
Roma Mkatoliki alikuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kupanda jukwaani. |
Lady Jaydee akiwasha moto katika jukwaa la Kili Music Tour huku akipewa kampani na Profesa Jay katika wimbo wa Joto Hasira
|
Mshindi wa tuzo 3 katika Kili Music Awards 2013 Kala Jemremiah akithibitisha ubora wake jukwaani. |
Diamond Platnumz akifanya yake kwa jukwaa. |
Fid Q akiwa juu ya stage home sweet home. |
Back stage.
Diamond |
#Team anaconda |
Ben Paul & Kala Jeremia. |
0 comments:
Post a Comment