Sunday, 7 July 2013

Picha: Rais Jakaya Kikwete alikua mgeni rasmi kwenye tamasha la matumaini!

Ni Jumapili July 7 2013 ambapo  Tamasha la Matumaini linaendelea kwenye Uwanja wa taifa ambapo Rais Jakaya Kikwete alikua mgeni rasmi, ilitangazwa kwamba President angekua refa kwa muda mfupi kwenye mechi ya Wabunge wa Yanga vs wa Simba.





 President baada ya kukagua timu alipewa nafasi na kupuliza kipenga kwa ajili ya game kuanza…

1 comments: