Saturday, 20 July 2013

News: SAID MOHAMED MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTRE AMERIPOTIWA KUMWAGIWA TINDIKALI JANA USIKU.

Mfanyabiashara maarufu jijini Dar amwagiwa Tindikali   maeneo ya Msasani City Mall muda wa saa 2 usiku.


Tukio hilo lilitokea jirani na Ubalozi wa Marekani na jirani kabisa na Police Oysterbay.

Mthumiwa aliyefanya kitendo hicho alitoka mbio, mlinzi akamkimbiza lakini bahati mbaya akateleza na kuanguka na jamaa akawahi pikipiki na kutoweka eneo la tukio.

Said amelazwa Trauma (AMI) Hosp - Masaki.

Hili ndio eneo la tukio ambapo Mfanyabiashara huyo alimwagiwa tindikali.


Source: Jamii Forum

0 comments:

Post a Comment