Ni ugomvi ambao ulitokea Ijumaa kwa wawili hao kutukanana matusi mpaka yaliyowajumlishia na wazazi ndani yake ambapo Nando alivuka mipaka ya sheria za BBA hivyo kuitwa kwenye Diary Room na kuonyeshwa video ya kilichotokea na dakika kadhaa baadae akatolewa BBA akiwa hapohapo Diary Room, hakuruhusiwa kurudi kuwaaga washiriki wenzake.
Hizi picha na video ambayo iko chini kabisa ni mfululizo wa matukio mbalimbali muda mfupi tu baada ya Nando kutolewa BBA.
Hasira za Nando zilipitiliza mpaka kudiriki kusema mtu kama Elikem anastahili kufa ambapo pia baadae Nando alikutwa akiwa amelala na mkasi chini ya kitanda chake ikiwa sio mara ya kwanza kukutwa na silaha ndani ya BBA house, jamaa amekua na wiki 9 za historia kwenye The Chase.
Mwezi uliopita Nando alipewa onyo na Biggie baada ya kuvunja sheria kwa kuonekana akiwa na kisu kwenye party ya Channel O.
Hii ni riport toka BBA....
Tanzania’s Nando has been Disqualified from the Big Brother House.
After tonight’s Evictions that sawAnnabel and Sulu being given the boot, Big Brother then gathered all of the Housemates in the living room.
Today Big Brother reproached Nando for the fight that he had with Elikem on Friday. The heated face-off with Elikem saw the two fellas exchanging fiery words between them. Nando is the one that instigated the fight. Instigation and provocation is a violation of the Big Brother rules.
“Any Housemate who becomes physically violent will be removed from the House immediately. Violence can refer to self-inflicted violence, or violence towards another. Violence includes provocation, goading, bullying and victimisation,” said Biggie.
This season Big Brother has imposed a Three Strike Rulu, which will be applicable to Housemates who commit serious infringements. For this fight Nando received his second Strike and Elikem was has served with his first Strike. Afterwards the Tanzanian was called into the Diary Room. He was given his third Strike for making threats against Elikem’s life, saying: “I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die”.
And he was also caught sleeping with scissors under his bed and this is not the first time that he has been caught with a weapon in the House. The troubled young fellow has had a dramatic nine weeks in The Chase. Last month he was served with a a Strike and a stern warning from Big Brother after he was found carrying a knife to the Channel O Party. The possession of weapons or intention to be violent in the House is another violation of the Big Brother rules.
After the Diary session Nando was told to immediately exit the House. Big Brother then gave a warning to the Housemates to conduct themselves as adults.
0 comments:
Post a Comment