Ni majira ya saa 1 usiku maeneo ya mbezi mwisho ambapo mama mzazi wa Prof. J alipata ajali ya kugongwa na gari alipokuwa akivuka barabara akiwa akitoka dukani, aliwahishwa hospital hospitali ya Tumbi iliyopo Kibaha hadi mauti kumkuta. Mungu ailaza roho ya marehemu mahala pema Peponi...Amen.
0 comments:
Post a Comment