Wednesday, 24 July 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Star kutoka Hollywood, Beyonce (31), alibaki akiwa amekaa kwenye stage huku akiendelea kuimba licha ya nywele zake kunjiviringisha kwenye feni lililokuwa juu ya stage, alipokuwa aki-perform (Mrs Carter World Tour) juzi (July 22), Montreal, Canada. Janga hilo lilimkuta alipokuwa akiimba wimbo wake "Hello", ndipo wasaidizi wakepamoja na baunsa walisogea kumsaidia ambapo walifanikiwa kumtoa baada ya kuzikata na mkasi.
0 comments:
Post a Comment